Ulimwengu kaeleza mipango yake mkataba wake TP Mazembe utakapoisha

...................

 

Kuna stori tuliwahi kuzisikia kuhusu Thomas Ulimwengu kuwa mmiliki wa TP Mazembe Moses Katumbi atamuuza Ulimwengu kutokana ana amini kuwa Ulimwengu atakuwa hana raha kutokana na rafiki au mtanzania mwenzake Mbwan Samatta kaondoka, Ayo TV imempata Ulimwengu katika exclusive interview
“Kwa hilo sidhani kama kuna ukweli huu ni mpira Samatta kweli ni ndugu yangu kaondoka TP Mazembe na kaacha pengo kubwa, kweli kuna ofa ambazo zipo ninachosubiri ni kumaliza mkataba wangu mwisho wa mwaka huu niangalie ustaarabu mwingine”


.

chanzo: http://millardayo.com
http://3.bp.blogspot.com/-e0QpO-QtZzE/U5DWDUZasXI/AAAAAAAABWg/QlFF97gwNdc/s1600/RAHA+GIF.gif
GIVE YOUR OPINIONS HERE

0 comments: