ZA HIVI PUNDE:KOCHA TIMU YA TAIFA ATIMULIWA

...................
Image result for big sam photos 

Image result for big sam photos
Image result for big sam photos

Kocha aliyekuwa anainoa timu ya Taifa la Uingereza Big Sam katimuliwa kazi. Sababu ya kutimuliwa ni kuzungu mzia njia zisizo halali za umiliki wa upande wa tatu wa mchezaji kwa waandishi wa habari

Big sam ameiongoza uingereza siku 67 tu na kwa mechi moja, hiyo kaongoza oroza ya makocha wa uingereza waliokaa muda mfupi kwenye timu

hapa chini pana orodha ya makocha waliokinoa kikosi cha uingereza kwa muda mfupi na kuachia kazi


Jina
Mechi
Muda wa kuongoza
Sam Allardyce
1 (2016)
67 days
Steve McClaren
18 (2007-2007)
One year, six months, 18 days
Kevin Keegan
18 (1999-2000)
One year, seven months, 17 days
Terry Venables
23 (1994-1996)
Two years, four months, 29 days
Glenn Hoddle
28 (1996-1999)
Two years, nine months
Don Revie
29 (1974-1977)
Three years, seven days

KOCHA PEKEE ALIYEDUMU MUDA MREFU NI



Walter Winterbottom
139 (1946-1962)
18 years
http://3.bp.blogspot.com/-e0QpO-QtZzE/U5DWDUZasXI/AAAAAAAABWg/QlFF97gwNdc/s1600/RAHA+GIF.gif
GIVE YOUR OPINIONS HERE

0 comments: