TUNDUMA MJI WASAFISHWA...........ANGALIA PICHA HIZI

...................


Napenda kutoa pongezi za kutosha kwa wanatunduma kwa kuitikia agizo la Rais la kutumia siku ya tarehe 9/12/2015 kuwa siku ya usafi nchi nzima.

USAFI KWA UJUMLA
Wana tunduma wameitikia tamko la Rais kwa kufanya usafi kwenye mazingira ya makazi yao na hata sehemu za biashara. Kiujumla naweza kusema wamejitahidi kwa kiwango chao.

UHAMASISHAJI
Tumepata hamasa toka kwa wafanyakazi wa serikali (walimu na watendaji) walijitokeza kuhamasisha na kushiriki katika suala zima la usafi, natoa pongezi kwao
Mwisho niwashukuru wote waliomuunga mkono Mheshimiwa Rais Kwa kuitikia wito wa kutokomeza uchafu ili kujikinga/kujiweka salama na magonjwa ya mlipuko yasababishwayo na uchafu.





.
Prosper Ndelwa


.
kazi ikiendelea






.
Prosper Ndelwa na Mmiliki wa blog hii



.
Kazi ya kusafisha mitaro





.
Mr Mponela




.
Mmiliki wa blog hiiakifanya usafi(wapili kutoka kushoto, mwenye begi)






.
Blogger na Mtendaji wa eneo la Tukuyu-Tunduma

.
Mr Danny


http://3.bp.blogspot.com/-e0QpO-QtZzE/U5DWDUZasXI/AAAAAAAABWg/QlFF97gwNdc/s1600/RAHA+GIF.gif
GIVE YOUR OPINIONS HERE

0 comments: