WAGENI KUTOKA NANJING CHINA WATEMBELEA OFISI ZA WIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO
Naibu
Katibu Mkuu Wizara ya Haabari, Vijana Utamaduni na Michezo
Prof.Elisante Ole Gabriel kushoto akizungumza na watu kutoka Jamhuri ya
watu wa china(hawapo pichani) walipofika katika ofisi za Wizara kuonana
na uongozi wa Wizara kabla ya Maonyesho ya Miaka 50 ya ushirikiano kati
ya Tanzania na China yaliyofanyika jioni yake. Kulia ni Mkurugenzi
msaidizi Sanaa Bibi Leah Kihimbi.
Mkuu
wa masuala ya Utamaduni, Utangazaji, Habari na Uchapishaji kutoka
Nanjing China Bw. Yan Yiping kushoto akifafanua jambo walipofika katika
ofisi za Wizara kuonana na uongozi wa Wizara kabla ya Maonyesho ya Miaka
50 ya ushirikiano kati ya Tanzania na China yaliyofanyika jioni yake.
Kulia ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Haabari, Vijana Utamaduni na
Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel.
Baadhi ya wageni kutoka Nanjing China wakifuatilia mazungumzo yaliyokua yakiendelea walipofika katika ofisi za Wizara kuonana na uongozi wa Wizara kabla ya Maonyesho ya Miaka 50 ya ushirikiano kati ya Tanzania na China yaliyofanyika jioni yake. Kushoto ni Mkurugenzi msaidizi Mila Bibi Lily Beleko.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Haabari, Vijana Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel kulia akipokea zawadi kwa niaba ya Wizara kutoka kwa Mkuu wa masuala ya Utamaduni, Utangazaji, Habari na Uchapishaji kutoka Nanjing China Bw. Yan Yiping walipofika katika ofisi za Wizara kuonana na uongozi wa Wizara kabla ya Maonyesho ya Miaka 50 ya ushirikiano kati ya Tanzania na China yaliyofanyika jioni
Baadhi ya wageni kutoka Nanjing China wakifuatilia mazungumzo yaliyokua yakiendelea walipofika katika ofisi za Wizara kuonana na uongozi wa Wizara kabla ya Maonyesho ya Miaka 50 ya ushirikiano kati ya Tanzania na China yaliyofanyika jioni yake. Kushoto ni Mkurugenzi msaidizi Mila Bibi Lily Beleko.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Haabari, Vijana Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel kulia akipokea zawadi kwa niaba ya Wizara kutoka kwa Mkuu wa masuala ya Utamaduni, Utangazaji, Habari na Uchapishaji kutoka Nanjing China Bw. Yan Yiping walipofika katika ofisi za Wizara kuonana na uongozi wa Wizara kabla ya Maonyesho ya Miaka 50 ya ushirikiano kati ya Tanzania na China yaliyofanyika jioni
SOURCE:UTAMU MTUPU
0 comments: