MWANASOKWE AZALIWA KWA UPASUAJI
Mwana wa Sokwe anaendelea vyema baada ya kuzaliwa kupitia upasuaji katika hali isiyo ya kawaida.
Sokwe
huyo anayetoka upande wa magharibi alizaliwa kupitia upasuaji usio wa
kawaida baada ya mamaake kuonyesha ishara za ugonjwa hatari wa shinikizo
la damu.Alihitaji msaada wa kupumua,lakini sasa madaktari wanasema hali ya mama na mtoto iko shwari.
Zaidi bofya hapa http://www.bbc.com

0 comments: