Showing posts with label IMANI. Show all posts

HUYU JAMAA SI WA MCHEZO

0 comments
.
Ikumbukwe Roho ni ya Mungu na mwili ni wako. Jamaa kaitendea haki Roho yake kwa kufanya jambo la kiana kwa kufunga simple ndoa.. Mungu Awe nawe


chanzo:facebook


Read More »

MAIMAMU WATATU WAHUKUMIWA KUNYONGWA

0 comments

Mahakama ya kijeshi yawahukumu Maimamu 3 adhabu ya kifo

mediaWakazi wa mashariki mwa DR Congo wakiyahama makazi yao kwa sababu ya waasi ADF mwezi Juni 2013.AFP
Mahakama ya kijeshi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imewahukumu watu saba, ikiwa ni pamoja na Maimamu watatu, adhabu ya kifo. Watu hao wanashtumiwa kushirikiana na waasi wa Uganda wa kundi la ADF-Nalu.
Uamuzi huu ni wa kwanza kutolewa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo dhidi ya watu wanaotuhumiwa kushirikiana na kundi la waasi wa Uganda linaloundwa kwa idadi kubwa na Waislamu na ambalo limekua likiendesha harakati zake katika ardhi ya Congo.
Hukumu hii imetangazwa na Mahakama ya Juu ya kijeshi nchini DRC, katika wilaya ya Beni, kaskazini magharibi mwa nchi hiyo, kwa mujibu wa vyanzo mahakama.
Gilbert Kambale, kiongozi wa shirika la kiraia wilayani Beni, amekaribisha uamuzi huo dhidi ya watuhumiwa saba.
"Tunakaribisha uamuzi huu kwa sababu tunaamini kwamba ukweli umethibitika. Watuhummiwa wana uhusiano na waasi hao, yaani kundi la waasi wa Uganda la ADF-Nalu. Tunaamini kwamba mahakama imefanya kazi yake" amesema Bw Kambale.
Viongozi wa jamii ya Waislamu wilayani Beni wamejizuia kuzungumza kuhusu uamuzi huo.
Si rahisi kukata rufaa kwa uamuzi wa mahakama ya kijeshi nchini Congo.
Kwa miaka kadhaa, adhabu ya kifo haitekelezwi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
Kundi la waasi la ADF-Nalu linatuhumiwa kutekeleza mauaji ya mara kwa mara wilayani Beni katika miaka miwili iliyopita



Chanzo: http://sw.rfi.fr/afrika

Read More »

ZIFAHAMU NJIA 9 ZINAZOASHIRIA MWISHO WA DUNIA

0 comments




Imeandaliwa na MaendeleoVijijini Blog
WENGI wanapoambiwa kwamba mwisho wa dunia, yaani kiama, utafika, mara nyingi hawaamini na wanaona ni kawaida kwa sababu watu wanazaliwa wengine wanakufa.
Wapumbavu wamefikia hatua ya kukufuru wakisema kwamba mwisho wa dunia ni pale unapokufa tu, siyo zaidi ya hapo huku wakisadiki tafiti za kisayansi ambazo mara nyingi zinapingana na uwepo wa Mungu.
Wengine utawasikia wakisema; “Tangu enzi za mababu na mababu tumeambiwa kuna mwisho wa dunia, Wakristo wanaamini Yesu atarudi, na waumini wa dini nyingine nao wanaamini kuna kiama, lakini mbona hatuuoni huo mwisho wa dunia?”

Hata hivyo, MaendeleoVijijini inaripoti bila shaka kuwa, zipo baadhi ya tafiti ambazo zimebainisha kwamba mwisho wa dunia umekaribia.
Matukio ya sasa yanayotokea ulimwenguni, majanga, vita, mabaa ya njaa, magonjwa ya ajabu na kadhalika ni dalili tosha kwamba mwisho wa dunia umekaribia.
Tafiti mbali mbali za kisayansi nazo zinaashiria hivyo kama ilivyoandikwa kwenye Vitabu Vitakatifu. Sayansi na teknolojia imeleta mabadiliko makubwa ambapo hivi sasa dunia ipo kiganjani, wengine wanasema ni kama kijiji tu.
Leo hii watu hawatembei na Biblia wala Qur’an, bali wanavipata vitabu vyote kupitia kwenye simu zao za viganjani. Suala la kununua vitabu linaonekana ni la kale sana, hakuna anayejisumbua kwenda kuuliza bei, achilia mbali kununua. Hii inatokana na mafanikio makubwa ya tafiti za kisayansi na kiteknolojia.
Lakini hebu jiulize, siku mitambo hiyo ya internet itakapozima hali itakuwaje? Hiyo tafsiri yake ni rahisi sana, kwani itasadifu Maandiko Matakatifu kwamba hata Neno la Mungu halitaonekana wala kupatikana tena. Si Biblia wala Qur’an ambazo zitakuwepo kwa sababu hata mitambo ya kuchapa vitabu hivyo hivi sasa inaweza kufungwa kutokana na kuingia hasara!
Hata hivyo, wanajiografia na mambo ya sayansi wameeleza mambo yaliyodhahiri yanayotokea hivi sasa kama ni viashiria vya mwisho wa duniani, hebu soka hapa:
Hollywood vs. Uhalisia

Majanga ya mabadiliko ya tabianchi na viumbe vya ajabu vyenye sura za kutisha (aliens) ndivyo vitu ambavyo vimechukua sehemu kubwa ya filamu za Hollywood vikiashiria mwisho wa mwanadamu katika sayari ya Dunia.
Kwa hakika, kuanzia filamu ya miaka ya 1950 ya "The Day the Earth Stood Still" hadi filamu ya miaka ya 1960 ya "Planet of the Apes" mpaka filamu za sasa kama "The Day After Tomorrow," na "After Earth," kiama kimedhirika katika hadithi za kufikirika zinazoashiria uhalisia.
Lakini najua kwamba, ingawa filamu hizi zinaweza kuwa za kufikirika na kufurahisha tu, wanasayansi wengi wana hofu kubwa kutokana na matukio yanayoendelea kutokea kila kukicha — mengine yakiwa mabaya kuliko hata yale yanayoonekana kwenye filamu.
Kutoka kwenye magonjwa ya kutisha ya kuvu (fungus) hadi ujio wa maroboti, kuna mabo tisa hapa ambayo wanasayansi wanayaona kwamba ni dhahiri kuhusu mwisho wa dunia.
Kuongezeka kwa joto duniani 
Mabadiliko ya tabia nchi ndiyo mama wa hofu zote za mwisho wa dunia, kwa sababu ndilo tishio kubwa linaloikabili dunia kwa sasa, kama wanavyosema wanasayansi wenyewe.
MaendeleoVijijini ambayo daima imekuwa ikiripoti habari za mazingira na maendeleo ya uchumi kwa ujumla, hasa vijijini, inatambua kwamba mabadiliko ya tabianchi yanaweza kufanya hali ya hewa yote kuwa mbaya, yataongeza ukame katika maeneo kadhaa, kubadili mfumo wa uzalishaji wa wanyama pamoja na kuongeza magonjwa duniani, na kusababisha maeneo ya dunia yaliyo chini kuzama katika bahari ambayo inazidi kupanda juu.
Matokeo ya mabadiliko hayo yatasababisha machafuko ya kisiasa, ukame wa kutisha, njaa, kuharibika kwa mfumo wa ikolojia na mabadiliko mengine yatakayoifanya Dunia kuwa mahali pa kutisha na pasipofaa kuishi.
Vimondo!
 Vimondo (Asteroids) ndivyo vinavyochukua sehemu kubwa katika filamu za kutisha hasa zile za kisayansi, lakini wanasayanasi wanahofia kwamba upo uwezekano pia wa jiwe kubwa kutoka angani, yaani kimondo, ambalo linaweza kuporomoka na kuja kuikandamiza na kuifuta kabisa Dunia.
Inawezekana kimondo ndicho kilichowaua wale wanyama wakubwa wa ajabu (dinosaurs) ambao tumeendelea kuwaona kama ni ngano za kufikirika na kusadikika ingawa kweli walikuwepo ulimwenguni.
Na katika tukio la Tunguska, kimondo kikubwa kiliharibu eneo la maili 770 (takriban kilometa 2,000) za msitu wa Siberia mnamo mwaka 1908.
Jambo linaloogofya, pengine, ni ukweli kwamba wanaanga wanafahamu tu kuhusu kuporomoka kwa mawe ya angani ambayo yanaishia kwenye anga za mbali katika mfumo wa jua (solar system).
Magonjwa ya kutisha


Majanga ya magonjwa mapya ya kutisha yanayoua bila tiba wala kinga yanaibuka kila mwaka: Magonjwa yaliyoibuka katika miaka ya karibuni ni pamoja na SARS (severe acute respiratory syndrome), mafua ya ndege, na ugonjwa mpya kabisa wa MERS unaosababishwa na virusi aina ya coronavirus ambao ulianzisha Saudi Arabia. Hii ni mbali ya Ukimwi na Ebola. Na kwa sababu ya maendeleo ya sasa yanayotufanya tuunganike bila shida, uchumi wa dunia, gonjwa la kutisha linaweza kusambaa haraka kama moto wa nyikani.
MaendeleoVijijini inazo kumbukumbu jinsi ugonjwa wa Ebola ulivyomaliza watu wengi hasa Afrika Magharibi na bado unaendelea kuwa tishio duniani mpaka sasa.
"Hofu ya majanga ya magonjwa yanayoweza kuiangamiza dunia mara moja ni kubwa sana," anasema Joseph Miller, mwandishi mwenza (akishirikiana na Ken Miller) wa kitabu cha "Biology" (Prentice Hall, 2010).
Majanga ya kujitakia
Magonjwa ya asili siyo pekee yanayoweza kuleta hofu duniani. Mwaka 2011, jamii ya wanasayansi ilipagawa baada ya kugundua kwamba watafiti walikuwa wametengeneza kirusi kipya cha mafua ya ndege kijulikanacho kama H5N1 ambacho kilikuwa kinasambaa kupitia njia ya hewa.
Matokeo hayo yalizua taharuki duniani baada ya kubaini kwamba magonjwa ya kutisha ambayo ni ya kutengenezwa yangeweza kusambaa kutoka kwenye maabara za utafiti au yangeachiliwa kwa makusudi kabisa, na kusababisha janga la dunia.
Kuvu (Fungus) miongoni mwetu
Japokuwa bakteria ni hatari, lakini majanga ya kuvu (fungus) ni hatari zaidi, anasema David Wake, mhifadhi katika Makumbusho ya Wanyama na Wadudu (Museum of Vertebrate Zoology) katika Chuo Kikuu cha California, Berkeley.
"Tumekumbana na ugonjwa mpya wa fangasi unaowashambulia wanyama wa jamii ya amfibia ambao una madhara ya kutisha," alisema Wake akizungumzia fangasi wa aina ya chytrid ambao wanaua chura wengine nchini Marekani.
Ni wazi kwamba akitokea fangasi mwingine wa kutisha kwa binadamu yatakuwa ni majanga. Na japokuwa bakteria ni hatari, kuna dawa za kutosha kukabiliana nao. Kwa ulinganisho, hatufahamu sana kuhusu kutibu magonjwa yanayosababishwa na fangasi kuliko ambavyo tunafahamu magonjwa yanayosababishwa na bakteria, alisema Wake.
Vita vya Nyuklia
 
Mataifa mengi hivi sasa yanakusanya malighafi mbalimbali za kutengeneza silaha za maangamizi, hasa za nyuklia. Ingawa mengi kati ya mataifa hayo yamekuwa yakikanusha hadharani katika vikao vya usalama duniani, lakini bado ukweli uko pale pale kwamba yanatengeneza silaha hizo na yamezificha, huku yakiendelea kutafuta malighafi kila pembe ya dunia, hasa madini ya uranium.
Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo hivi sasa zinachimbwa uranium na kampuni inayochimba inamilikiwa na serikali ya Urusi, ambayo kwa miaka mingi inafahamika kwamba iko imara kijeshi na inaendelea kufanya tafiti za silaha mbalimbali.
Kwa hiyo, wanasayansi wana hofu kubwa kuhusu tishio la mwisho wa dunia: hasa vita ya dunia ya nyuklia. Fikiria kama hivi sasa tu wapo watu wanaovaa mabomu ya kujitoa muhanga na kufanya ugaidi, je, akitokea mwendawazimu mmoja akaamua kuyafurumua mabomu ya nyuklia ili ‘tufe wote’ maana yake ataifuta dunia.
Ukiacha jitihada za silaha kali za Kim Jong Un wa Korea Kaskazini pamoja na silaha za nyuklia za Iran, kuwepo kwa viwanda vingi vya nyuklia duniani kunaweza kuisambaratisha dunia kama silaha hizo zitatua kwenye mikono ya mwendawazimu mmoja.
Kiama kinaweza kufika kutokana na silaha za nyuklia au silaha za kibaolojia au mabadiliko ya tabianchi.
Ujio wa maroboti
Filamu ya "The Terminator" iliyochezwa na Arnold Schwarzenegger inaweza kuwa ni ubunifu tu wa kisayansi, lakini mashine na mitambo ya mauaji isiyoendeshwa na watu inaweza kuwa karibu na uhalisia.
Miaka kadhaa iliyopita Umoja wa Mataifa ulipiga marufuku matumizi ya maroboti ya mauaji — inawezekana hiyo ilitokana na ukweli kwamba wataalamu wanahofia kuwa njia nyingi zimekuwa zikiyatengeneza.
Wanasayansi wa kompyuta wanafikiria kuhusu kukaribia kwa ‘umoja’ (singularity), mahali ambapo uwezo wa kufikiri wa kutengeneza, yaani artificial intelligence, utazidi uwezo wa kibinadamu.
Kama maroboti hayo yatakuwa muhimu katika kusaidia au yataharibu uwepo wa binadamu ni suala ambalo linahitaji mjadala. Lakini mambo mengi yatakwenda kombo ikiwa yatakuwepo maroboti yenye uwezo mkubwa kuliko binadamu yakiwa yametengenezwa kama silaha za mauaji ambayo yataiongoza dunia.
Ongezeko la watu
Hofu ya ongezeko kubwa la watu duniani limeonekana kuanzia karne ya 18, wakati Thomas Malthus alipotabiri kwamba kuongeza kwa watu kutasababisha njaa na kuijaza dunia.
Huku idadi ya watu duniani ikiwa bilioni 7 na ikiendelea kupanda kwa kasi ya ajabu, wahifadhi wengi wanadhani kwamba ongezeko la watu ni mojawapo ya majanga ya dunia.
Ni wazi, kwamba siyo kila mtu anakubaliana: Wengi wanadhani ongezeko la watu linaweza kutengemaa katika miaka 50 ijayo, na kwamba wanadamu watarekebisha madhara yake yanayotokana na wingi wa watu kwa sasa.
Madhara ya barafu
Pamoja ma matukio haya kwamba yatatokea, wanasayanasi wengi wanadhani kwamba madhara ya mabonge ya barafu yanaweza kutokea, anasema Miller.
Kwa mfano, ongezeko la joto litaongeza athari za mazingira. Wakati huo huo, mfumo wa ikolojia utaporomoka na kufanya iwe vigumu kuzalisha chakula, huku nyuki wakiwa wametoweka kabisa duniani kutokana na kutokuwepo kwa miti kwani ndio pekee wanaoweza kuchavusha mazao.
Kwa hiyo, badala ya madhara madogo, kuna sababu nyingine ndogo ndogo ambazo zinaweza kuathiri maisha ndani ya Dunia mpaka pale wanadamu watakapotambua hatari hiyo na kuibadilisha, kwa kurejesha hali ya misitu na mazingira kwa ujumla.
 
 
 
chanzo: http://maendeleovijijini.blogspot.com

Read More »

Wanawake Waislamu wa Kishia na Kisuni nchini Marekani wafanya kongamano la pamoja

0 comments
Wanawake wa Kiislamu wa madhehebu za Shia na Suni katika jimbo la Ohio nchini Marekani wamefanya kongamano maalumu ili mbali na kuzidi kuelewana, kuonesha kuwa masuala yanayowaunganisha pamoja ni mengi zaidi kulinganisha na wanayohitilafiana.
Wanawake hao wa Kiislamu aidha wanafanya jitihada za kuungana pamoja kukabiliana na mielekeo ya kufurutu mpaka na kutangaza ujumbe wa amani wa Uislamu.
Golchin Ozer, mtafiti wa taarifa za kitabibu katika Chuo Kikuu cha jimbo la Ohio, ambaye aliwakilisha jamii ya Waislamu wa Kisuni amesema sauti za misimamo ya kufurutu mpaka zinasikika kila mara katika vyombo vya habari, lakini wanawake Waislamu walioko nchini Marekani wanaishi kwa kufuata njia ya kadiri na wastani.
Ozer ameongeza kuwa Mashia na Masuni wanafanana katika mambo mengi kuliko wanayotafautiana na kwamba wanawake Waislamu wanataka kutilia mkazo juu ya nukta hizo za pamoja.
Aysar Hamoudi, tabibu mstaafu wa jamii ya waislamu wa Kishia kutoka mji wa Dublin amesema, akthari ya wanaoathirika na jinai za kundi la kigaidi la Daesh ni Waislamu, na kwamba magaidi hao hawana dini yoyote kwa sababu mtu anayemwamini Mungu hawezi kufanya jinai kama hizo. Hamoudi ameongeza kuwa hakuna dini yoyote inayofunza mtu kuchukia ndugu zake, wananchi wenzake na binadamu kwa ujumla; na Uislamu ni dini ya udugu...


chanzo: http://parstoday.com

Read More »

PAPA ASEMA"UOGA UTAWAFANYA WAKRISTO WAFUNGWA"

0 comments
.
 Papa Francis : Uoga utawafanya Wakristu wafungwa

 .
  Papa Francis aongoza misa ya jumapili ya pasaka Roma

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis anahudhuria misa ya Jumapili ya pasaka inayojumuisha maelfu ya wakatoliki.
Aliwabariki waumini waliohudhuria misa hiyo kwa baraka ya kitamaduni ya "urbi et orbi" na ile ya ''Miji na dunia nzima''.
Awali papa Francis aliwaomba wakristo kote duniani wasiruhusu uoga uwatawale.
Akizungumza katika mkesha wa sherehe za pasaka na wiki moja baada ya mashambulio ya Brussels yalliyowauwa watu 31 ,papa Francis amewataka waumini kutopoteza matumaini akisema hilo litawafanya wafungwa.
Wachambuzi wanasema swala la jinsi ya kukabiliana na mashambulizi ya kigaidi ndilo litakalokuwa mada kuu ya ujumbe wa papa Francis Jumapili hii ya pasaka.
Mwandishi wa BBC aliyeko Roma anasema kuwa hotuba hiyo ilikuwa tofauti zaidi na ile aliyewakashifu waumini wa dini zingine wanaojaribu kudunisha dini zingine

chanzo:bbcswahili

Read More »

Did Jesus Rise From the Dead?

0 comments

We all wonder what will happen to us after we die. When a loved one dies, we long to see him or her again after our turn comes. Will we have a glorious reunion with those we love or is death the end of all consciousness?
Jesus taught that life does not end after our bodies die. He made this startling claim: “I am the resurrection and the life. Those who believe in me, even though they die like everyone else, will live again.” According to the eyewitnesses closest to him, Jesus then demonstrated his power over death by rising from the dead after being crucified and buried for three days. It is this belief that has given hope to Christians for nearly 2000 years.
But some people have no hope of life after death. The atheistic philosopher Bertrand Russell wrote, “I believe that when I die I shall rot, and nothing of my own ego will survive.”[1] Russell obviously didn’t believe Jesus’ words.
Jesus’ followers wrote that he appeared alive to them after his crucifixion and burial. They claim not only to have seen him but also to have eaten with him, touched him, and spent 40 days with him.
So could this have been simply a story that grew over time, or is it based upon solid evidence? The answer to this question is foundational to Christianity. For if Jesus did rise from the dead, it would validate everything he said about himself, about the meaning of life, and about our destiny after death.
If Jesus did rise from the dead then he alone would have the answers to what life is about and what is facing us after we die. On the other hand, if the resurrection account of Jesus is not true, then Christianity would be founded upon a lie. Theologian R. C. Sproul puts it this way:
The claim of resurrection is vital to Christianity. If Christ has been raised from the dead by God, then He has the credentials and certification that no other religious leader possesses.[2]
All other religious leaders are dead, but, according to Christianity, Christ is alive.
Many skeptics have attempted to disprove the resurrection. Josh McDowell was one such skeptic who spent more than seven hundred hours researching the evidence for the resurrection. McDowell stated this regarding the importance of the resurrection:
I have come to the conclusion that the resurrection of Jesus Christ is one of the most wicked, vicious, heartless hoaxes ever foisted upon the minds of men, OR it is the most fantastic fact of history.[3] McDowell later wrote his classic work, The New Evidence That Demands A Verdict, documenting what he discovered.
So, is Jesus’ resurrection a fantastic fact or a vicious myth? To find out, we need to look at the evidence of history and draw our own conclusions. Let’s see what skeptics who investigated the resurrection discovered for themselves

ready more, click here 

jesus-rise-dead/?


Read More »

KWA HILI MUNGU AINGILIE KATI.

0 comments

Waanglikana waunga mkono ndoa za jinsia moja

 
Justin Welby
Waumini wengi wa Kianglikana nchini Uingereza wanaunga mkono ndoa za wapenzi wa jinsia moja ,kulingana na kura ya maoni.
Kati ya zaidi ya waanglikana 1,500 waliohojiwa asilimia 45 ilisema kuwa ndoa za wapenzi wa jinsia moja zinafaa kuendelea huku asilimia 37 ikisema kuwa ni makosa.
Kura hiyo ya maamuzi ya Yougov pia imesema kuwa kuna ongezeko la waumini wa kanisa hilo wanaounga ndoa za jinsia moja katika kipindi cha miaka mitatu iliopia.
 
Anglikana
Msimamo rasmi wa kanisa la Uingereza ni kwamba ndoa inaweza kuwa ya mume na mke pekee.
Miaka mitatu iliopita,kura kama hiyo ya Yougov ilibaini kwamba asilimia 38 ya Waanglikana wanaunga mkono ndoa hizo huku asilimia 47 wakipinga.
 
Kanisa Anglikana barani Afrika
Katika kura hiyo ya maoni,uungwaji mkono ulikuwa juu miongoni mwa vijana huku ikiwa wale walio chini ya umri wa miaka 55 wakiamini kwamba ni sawa na asilimia 72 wa wale walio kati ya umri wa miaka 25-34, pia wakiunga mkono.
Wasiounga mkono wako katika kundi la wanaume walio zaidi na umri wa miaka 55.

Chanzo:bbcswahili

Read More »

PROPHET MUHAMMAD

0 comments

Image result for photos of dome of the rock
 Image result for photos of dome of the rock
The prophet Muhammad was a man with a mission—to tell people about God. His teachings founded a new religion, Islam. The followers of Muhammad and Islam are called Muslims. Today, Islam is one of the world's largest religions, with almost 1 billion followers.
THE TRUSTED ONE

Muhammad was born about ad 570 in Mecca, a trading center in Arabia (now Saudi Arabia). Because he was thoughtful and serious by nature, he was called al-Amin. This means “the trusted one” in the Arabic language. Muhammad worked as a merchant, traveling long distances to trade.
THE PROPHET

On his travels, Muhammad met people from many faiths and discussed religious ideas with them. He also took time away from busy, noisy Mecca, to pray and meditate (think deeply) in a cave. While he was there, he experienced religious visions, or revelations. He came to believe he had been chosen as a prophet to preach God’s message to the world.
ONE GOD

Muhammad spoke to the people of Mecca. He told them to destroy their old idols and worship Allah, the one true God. He said God was all-powerful, but loving and merciful. He said that God had sent earlier prophets, such as Moses and Jesus, but that now there wouldn’t be any more.
Muhammad’s preaching won converts but also made enemies. In ad 622 he fled from Mecca to a distant city, Medina, and set up a Muslim community there. After years of fighting, the Muslims from Medina conquered Mecca. Its citizens became Muslims. Quickly, Islam spread through Arabia and beyond.
THE MUSLIM WAY OF LIFE

Muhammad taught Muslims to pray five times a day, give to charity, fast during the month of Ramadan, and go on pilgrimages to Mecca. He told them that all Muslims were equal, whatever their race, class, or color. He said they should live at peace with Jews and Christians because they worshiped the same God.
Muhammad died in ad 632. To guide believers, his revelations were written down in the Qur’an. Muslims believe it is the word of God. Muhammad’s own words were treasured as Hadith (“sayings”), and his way of life was honored as Sunna (“good example”).
Source:Microsoft  Encarta  2008.

Read More »

HISTORY OF JESUS

0 comments
Jesus_Christ_Image_005.png (219218 bytes)Jesus_Christ_Image_002.png (148410 bytes)Jesus Christ

The teachings of Jesus inspired one of the world’s major religions—Christianity. Jesus’ followers, known as Christians, gave him the title of Christ, which means “savior.” They believe Jesus Christ was the Son of God, who came to save humanity from sin.
The story of Jesus’ life and his teachings was written down in four books called the Gospels. Gospel means “good news,” the good news that Jesus brought. The Gospels were written soon after the death of Jesus. They form part of the New Testament of the Bible.
SON OF MARY
Jesus was born between 8 bc and 4 bc, in Bethlehem in the Roman territory of Judea. His family was Jewish. The Gospels say that an angel told Mary, the mother of Jesus, that she would have God’s son. The Gospels also report that shepherds and wise men came to worship the baby Jesus, as Mary sheltered him in a stable.
THE KINGDOM OF GOD
Jesus lived quietly until he was 30 years old. Then, about ad 27, he left home to be a preacher. Large crowds gathered to hear his words. The Gospels say he performed many miracles.
Jesus taught that the Kingdom of God was coming. He warned everyone to get ready. He told them to be kind to their neighbors, care for the poor and for weak and hungry people, and live pure, holy lives. He said good behavior like this was more important for entering the Kingdom of God than obeying old, Jewish religious laws.
Jesus had many devoted followers. They hailed him as the Messiah, or Christ, who was predicted by Jewish prophets. These prophets had said that a Messiah chosen by God would bring peace and justice to the world.
DEATH AND RESURRECTION
The teachings of Jesus alarmed Jewish leaders. They feared that Jesus would lead people to ignore Jewish laws. They were also afraid that his teachings would land them in trouble with the Roman rulers. Jesus was arrested and sentenced to death for the religious crime of claiming to be the Son of God and King of the Jews.
Jesus was crucified (killed on a cross) around ad 29. But three days later, his followers said they had seen him. Soon afterward, they reported that Jesus had appeared again and had told them to spread his teachings around the world. Jesus’ rising from the dead is known as the Resurrection. The Resurrection gives Christians hope in life after death. According to the Bible, Jesus rose to heaven 40 days after the Resurrection.

Source:Microsoft  Encarta  2008.

Read More »

PAPA FRANCIS ALIVYOPOKELEWA NCHINI KENYA AHIMIZA AMANI NA UWAZI

0 comments


 
 Papa Francis ameanza ziara yake Afrika kwa kuhimiza umoja, uwazi, kuwathamini vijana na kuyatunza mazingira. Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki aliwasili Nairobi mwendo wa saa kumi unusu jioni na kukaribishwa kwa shangwe na viongozi wa kisiasa na kidini uwanja wa ndege.
 Baada ya kuwasili, alielekea Ikulu ambako alipanda mti kisha kukutana na Rais Uhuru Kenyatta kabla ya kutoa hotuba yake ya kwanza.Akimkaribisha kutoa hotuba, Rais Kenyatta, alieleza umuhimu wa ziara ya kiongozi huyo wa kidini, akimkumbusha kwamba kesho ni siku ya mapumziko na siku ya kitaifa ya maombi Kenya.
 Aliposimama kuhutubu, Papa Francis alishukuru sana kwa alivyopokelewa kabla ya kuanza mara moja kusisitiza kuhusu umuhimu wa umoja na utangamano Afrika. Pia, alikariri umuhimu wa kuwa na uwazi na usawa akisema ndiyo njia bora ya kumaliza mizozo.
 Kadhalika, alisisitiza nafasi muhimu ya vijana kwa taifa. "Taifa lenu pia lina vijana wengi. Siki hizi nitakazokuwa hapa, nasubiri sana kukutana na wengi wao, kuzungumza nao na kuwapa matumaini katika ndoto zao za siku za usoni.” Alisema.
 "Vijana ndio rasilimali yenye thamani zaidi kwa taifa. Kuwalinda, kuwekeza katika vijana, na kuwasaidia, ndiyo njia bora zaidi ya kuhakikisha siku njema za usoni zenye kufuata busara na maadili ya kiroho ya wazee wetu, maadili ambayo ndiyo nguzo ya jamii.”
 Moja ya masuala ambayo amekuwa akitilia mkazo ni kutunza mazingira. "Kenya imebarikiwa sio tu na umaridadi, katika milima, mito na maziwa, misitu, nyika na maeneo kame, bali pia katika utajiri wa maliasili,” alisema.
 "Tuna wajibu wa kupitisha maumbile haya yakiwa hayajaharibiwa kwa vizazi vijavyo. Maadili haya yamekuwepo kwenye jamii za Kiafrika.”
 Kadhalika, alisitiza umuhimu wa usawa katika jamii na kuwajali wanyonge. Papa alitumia Kiswahili kuhitimisha hotuba yake, akisema: "Mungu abariki Kenya!”
 Alikuwa ameandika maneno yayo hayo kwenye akaunti yake ya mtandao wa kijamii wa Twitter alipokuwa safarini, saa moja hivi kabla ya kuwasili Kenya.
 Leo, Papa Francis amepangiwa kuongoza ibada ya misa katika uwanja wa Chuo Kikuu cha Nairobi.
 Ataondoka Kenya Ijumaa kuelekea Uganda. Atakamilisha ziara yake Jamhuri ya Afrika ya Kati.
 

Taarifa na BBC Swahili na Picha na Ukurasa wa Rais Wa Kenya

Read More »

Wahubiri wa TZ waliotekwa kuwachiliwa

0 comments


Mtu anayeongoza mazungumzo ya kuachiliwa huru kwa wahubiri saba wa kiislamu kutoka Tanzania waliotekwa nyara wiki iliopita ameiambia BBC kwamba makubaliano ya kuwaachilia huru huenda yakaafikiwa hivi karibuni.
Sheikh Suleiman Mohammed amesema kuwa kundi la watu wanaofanya mazungumzo hayo limewasiliana na watekaji nyara hao na kwamba viongozi hao wa dini hawajateswa.
''Wametaka kupewa fedha ili kuwahudumia mateka hao iwapo fedha za fidia hazitalipwa'',aliambia BBCswahili.
Ameongezea kuwa maimamu hao sio waliokuwa wakilengwa na washambuliaji hao na kwamba walikuwa katika mahala pabaya katika wakati usiofaa

chanzo:bbcswahili

Read More »

PADRE AACHA KANISA NA KUUFUATA UBUNGE MBOZI, SABABU ZA KUFUATA UBUNGE HIZI HAPA,,,!

0 comments


 


 Padre wa kanisa la Angikana Jonathan Mwashilindi akikabidhi Bendera ya Chama kwa viongozi wa Chadema kata ya Nanyala kama njia ya kukijenga chama hicho.


                                    HABARI KAMILI
Padre wa kanisa la Angikana Jonathan Mwashilindi amesema amechukua uamuzi wa kugombea Ubunge katika jimbo la Mbozi Mashariki ili aweze kupata fursa ya kutumikia makundi mengi ya kijamii zaidi ya kanisani.
Mwashilindi ameyasema hayo katika maeneo na nyakati tofauti alipozungumza na makada wa Chama cha Demokrasia na Maendele(Chadema) kwenye kata mbalimbali za wilayni Mbozi alizotembelea zikiwamo za Nanyala,Ipunga na Miyovizi.
Akizungumzia nia yake ya kugombea kwa makada wa chama hicho,Pade Mwashilindi amesema kwa miaka 13 aliyolitumikia kanisa la Anglikana amekuwa akihudumia jamii ya aina moja na sasa ameona ni wakati kwake kutanua wigo wa kuitumikia jamii kwa kuingia kwenye siasa badala ya kanisani.
Padre huyo mzaliwa wa kijiji cha Mpanda wilayani Mbozi,amesema wakazi wilayani humo bado wanakabiliwa na changamoto nyingi hali inayotokana na viongozi wa kuchaguliwa kutowajibika ipasavyo.
Moja ya changamoto alizozitaja kuwakabili wakazi wa Mbozi ni pamoja na kutonufaika na shughuli za kilimo ambazo kwa miaka mingi wamekuwa wakijishughulisha nazo na kuzitegemea kama chanzo kikubwa cha pato lao.
Amesema licha ya jamii ya wanambozi kujituma katika shughuli za kilimo,bado hawajanufaika na matunda ya jasho lao kwakuwa upatikanaji wa soko la uhakika la mazao bado ni tatizo kubwa.

chanzo:lyamba la mfipa

Read More »

Misikiti minane kufungwa Tunisia

0 comments


 
Utawala nchini Tunisia unasema kuwa utafunga misikiti minane wiki moja inayokuja kwa madai kwa inachochea ghasia.
Hii ni kufuatia shambulizi lililofanyika kwenye hoteli moja ambapo watu 39 wengi wao wakiwa raia wa kigeni waliuawa na mwanamme mmoja aliyedanganya kuwa mtalii.
Kundi la islamic state lilisema kuwa ndilo lililotekeleza shambulizi hilo.
Waziri mkuu nchini Tunisia Hanib Essid anasema kuwa baadhi ya misikiti ilikuwa ikitumika kueneza propaganda na kuunga mkono ugaidi.

chanzo:bbcswahili

Read More »

Muislamu wa US ashinda kesi ya Hijab

0 comments

Mahakama ya juu nchini Marekani imetoa uamuzi uliompendelea mwanamke mmoja wa kiislamu ambaye alienda mahakamani baada ya kunyimwa kazi katika kiwanda cha kushona nguo kutokana na vazi lake la hijab.
Kampuni hiyo ilikataa kumuajiri Samantha Elauf mwaka 2008 kama msaidizi wa mauzo kwa kuwa vazi lake la hijab lilikuwa linakiuka sera za kampuni hiyo ambayo ilikuwa inapinga wafanyikazi kuvaa kitu chochote kichwani.
Elauf hakuelezwa kuhusu sera hiyo ya mavazi.
Elauf aliwasilisha malalamishi yake na tume ya kuhakikisha kuwa kuna usawa wa utoaji wa ajira.
Katika ya kura 8-1,majaji hao walitoa ushindi dhidi ya kampuni ya Abercrombie and fitch kwa niaba ya mtafuta ajira samantha Elauf.
chanzo:bbcswahili


Read More »

Papa Francis awapa pole wa Kenya

0 comments
 
Papa Francis akiwasalimia waumini wakatoliki,wakati wa sikukuu ya Pasaka. 
 
Katika maadhimisho ya ibada ya sikukuu ya Pasaka, baada ya mateso,kifo na ufufuko wa Yesu Kristo,Baba Mtakatifu Francis amewaombea wanafunzi waliouawa nchini Kenya mwishoni mwa wiki iliyopita.
Katika utaratibu wake wa kawaida wa kutoa ujumbe katika sikukuu ya pasaka,akizungumza na umati wa waumini waliofurika katika viwanja vya Basilica ya Mtakatifu Peter mjini Vatican, Papa ametoa mwito wa kusitisha kile alichokiita matukio mengi ya mateso ya wakristo ulimwenguni.
Kiongozi huyo wa kiroho anayeongoza waumini wa madhehebu ya kikatoliki wapatao bilioni moja nukta mbili ,amelaani mgogoro unaondelea Mashariki ya kati na kwingineko, lakini ameweka imani yake katika mazungumzo yanayoendelea juu ya mkataba wa vinu vya nyukilia vya Irani ,wenye mwanga wa matumaini wa kufikiwa makubaliano na kuifanya dunia kuwa mahali salama pa kuishi.
Kabla ya kuanza hotuba yake,Papa alikwenda katika viwanja hivyo vya Basilica la Mtakatifu Petro kuwasalimia waumini waliokuwa wakimsubiri pamoja na kwamba kulikuwa na hali mbaya ya hewa.

chanzo:bbcswahili

Read More »

NABII AWATANDIKA MIMBA MABINTI NA WAKE ZA WATU ZAIDI YA 20,ADAI ALIAMBIWA NA ROHO MTAKATIFU

0 comments


Wanawake na mabinti waliopewa mimba na nabii/mchungaji huyo.

Huko nchini Nigeria wanawake zaidi ya 20 wakiwemo wake za watu na mabinti wamepachikwa mimba na "nabii" wao ambaye amedai aliambiwa na Roho mtakatifu kufanya nao mapenzi wanawake hao.
 
 Nabii huyo alifahamika kwa jina la Timothy Ngwu ambaye ni mchungaji kiongozi wa kanisa la Vineyard Ministry of the Holy Trinity huko Enugu tayari anashikiliwa na jeshi la polisi la jimbo hilo kwa kosa la kuwalazimisha kufanya nao mapenzi na wanawake hao.

Mchungaji huyo amedai anatii wito wake wa kinabii na kiroho alioitiwa na kufanya sawa na mapenzi ya Mungu kwa kuwapa mimba yeyote yule aliyechaguliwa na kuwekwa wazi na Roho mtakatifu bila kujali kama mwanamke huyo ameolewa ama la alisema msemaji wa jeshi la polisi Enegu kamanda Ebere Amaraizu akitoa taarifa kwa vyombo vya habari na kudai kwamba mwanamke akijifungua mtoto hubakia kwenye huduma hiyo na mzazi wake.

Taarifa kutoka kwa familia za mchungaji huyo zinasema mkewe aitwaye Veronica Ngwu ambaye alichoshwa na tabia ya mumewe hasa alipompa ujauzito mdogo wake na kuamua kumripoti Polisi. 
 
Kwa upande wa kaka wa mtuhumiwa ambaye hakutaka jina lake lifahamike ameiambia Vanguard report kwamba amekuwa akimuonya kaka yake juu ya tabia yake kwa muda mrefu lakini hakutaka kusikiliza, amesema gadhabu ya Mungu imeshuka juu ya kaka yake.


"Ngoja niwaambie hasira ya Mungu imemshukia kaka yangu tumekuwa tukimuonya kila siku kuacha alichokuwa akifanya amejaza boma letu kwa kuzaa watoto bila uangalifu na kutuambia tunamuonea wivu kwasababu anafanya maagizo ya Mungu" alisema kaka mtu.
 
Aliongeza "kwamba angalia majengo yote ya kanisa ameyageuza kuwa ya kwake kwa jina la huduma yake, alimfukuza mkewe wa ndoa waliyezaa naye watoto watatu na kuanza kuwajaza mimba wake za watu na mabinti wadogo, we angalia boma lote limejaa watoto wa jinsia zote alilalamika kaka huyo"

Aidha kaka huyo amesema waumini wote wa kanisa la kaka yake ni wapumbavu kwa sababu mwanamke hawezi kumuacha mumewe na kwenda na mwanaume mwingine kwa kisingizio cha kwenda kumuabudu Mungu na kufanya zinaa, na kudai hawezi kujiingiza katika tatizo hilo, "Vero amefungua msaada kwa wamama hao ngoja wayamalize na polisi ila nataka huduma hii ifungwe kabisa" alisema

Ngwu ameiambia NaiJ kwamba kaka yake ana wake wapatao watano na watoto 13 pamoja na wake za watu kwa madai ya kufuata mapenzi ya Mungu. 
 
Amedai hajawahi kufanya mapenzi na wake za watu ila amefanya hivyo endapo waume zao wamekubaliana na ombi la Roho mtakatifu. Calista Omeje na Assumpta Odo ni wanawake ambao waliawaacha waume zao ili kuishi na nabii huyo kwakuwa ilikuwa ni upako wa kinabii wa mchungaji huyo.

Calista ambaye ana watoto 10 na mumewe alipewa mimba na mchungaji huyo ila mtoto alikufa, amesema mwanamke huyo alimkabidhi mchungaji huyo binti yake huku Odo naye amesema mchungaji huyo amempa mimba yeye na binti yake.


chanzo:eddy blog

Read More »